Machi 31, 2021
Dakika 3. Soma

Two Fumbas – One Idea

Tafuta maeneo yote mapya yenye maendeleo yanayovutia kando ya bahari nje kidogo ya mji wa Zanzibar.

Yote haya yanatokea katika peninsula ya Fumba: Maendeleo ya maeneo mawili makubwa ya uendelezaji miji yameanzisha fursa za maisha ya kisasa kwa majengo ya nyumba za kitalii na nyumba za kudumu za familia karibu na mji mkuu wenye msongamano wa watu.

Na ANDREA TAPPER

Maeneo yote mawili ya jumuia kando ya bahari, yalianzishwa mwaka 2015/16, na kuvutia wakazi wenyeji pamoja na idadi ya wageni wa kimataifa wanaoongezeka na wawekezaji. “Mpaka sasa tuna wanunuzi kutoka mataifa 57”, anasema Sebastian Dietzold, Afisa Mtendaji Mkuu (CEO) wa CPS, waendelezaji wa Fumba Town. “Tuna mengi ya pamoja kuliko yanayotutenganisha”, anasisitiza Saeed A. Bakhressa, mkurugenzi wa mradi wa Fumba Uptown Living (FUL) unaoendelezwa na kundi la makampuni ya Azam Bakhresa, kampuni kubwa maarufu ya Kiafrika. “Yote inahusu imani na dira ya kuifungua Zanzibar”, wawekezaji wote wawili wanakubali hilo.

So, what IS the difference between Fumba Town and our neighbour Fumba Uptown – and what unites these new urban island delights? Where to shop best for a holiday apartment or a permanent family home? Well, it starts with taste …and probably ends with your financial possibilities (see box). While both projects aim to “satisfy the huge demand in real estate in Zanzibar” (Dietzold), promise ”high yields in investment” (Bakhressa) and support local industries and employment, one might – just for the sake of distinction – identify the uptown version as slightly more exquisite and conventional, and Fumba Town as the greener and more experimental entity. 

Ni miradi ya mazingira dhidi ya mradi wa kifahari, halafu? Hiyo itafanya kuwa rahisi. Fumba Town imeibuka kutoka ardhi kame ya mwamba wa matumbawe kugeuzwa katika eneo la kuvutia la mimea ya kitropiki katika muda wa miaka mitatu tu kwa matumizi bora ya ardhi yanayozingatia kilimo hai, Lakini ushindani wa uptown unaweza pia kujivunia kuwa na maji yake na mitambo ya umeme inayozalisha umeme wa kufikia megawatt 20 na kuzalisha maji ya kunywa yapatayo lita milioni tatu. “Kando ya hapo, miji yote miwili inakabiliwa na changamoto za aina moja”, anasema Bakhressa. Upungufu wa mchanga unachelewesha mchakato wa ujenzi. Changamoto nyingine: “Uturuki au Mauritius imeweka haraka ruzuku ya makazi kwa wanunuzi wa nyumb, katika Zanzibar bado tunasisitiza hilo kufanyika”, Bakhresa mwenye umri wa miaka 41 anabainisha. 

Ukitumia mfumo wa kuzunguka katika viunga vya kushangaza vya Uptown pembezoni mwa jbali, una burudika na upepo mwanana kutoka katika bahari. Kilomita chache, wateja utakuta wakifurahi wakiomba punguzo la bei katika mtaa maarufu wa soko katika Fumba Town, wakichagua kati ya jemu za matunda zilitengenezwa majumbani na mafuta ya ngozi ya Aloe Vera. Tayari kuna maisha ya yanayoonekana ya ukaazi wa watu katika Fumba Town, ambako majengo yapatayo 500 yenye jumla ya nyumba 3000 ambazo zimejengwa katika mitindo tofauti na bei tofauti tayari zimeuzwa na nyingine zimekaliwa – zikiwa katika bei ya chini kwa nyumba ndogo hadi nyumba kubwa za mjini kufikia ghorofa tatu. 

Kwa upande wake katika mradi wa Uptown Living, nyumba za kifahari zikiwa na umiliki wa mtu binafsi na jengo la ghorofa kumi ni kivutio kwa wanunuzi wa baadaye. “Tunauza nyumba ambazo tu ziko tayari kukabidhiwa”, anaelezea mkurugenzi Bakhressa, “ukamilishaji wa ujenzi bado unaendelea na bado hatujaanza kutangaza”. Fumba Town inauza nyumba kabla hazijajengwa; wanunuzi wanalipa kidogo kidogo.

The excitement of new beginnings is tangible in both projects. “I couldn’t believe my eyes seeing entire cities coming up in the middle of nowhere”, a visitor remarked. And both developers seem to agree: Just as Manhattan island in New York has an uptown, midtown and downtown area, the two tropical towns on the Fumba peninsula may eventually form one suburb of the capital – with diverse neighbourhoods but the unifying promise of a better life in Zanzibar! 

Shiriki hii

Makala zinazohusiana-Related Articles

Septemba 18, 2023
3 dakika.

UNITED IN MUSIC

New generation at the helm of ‘Sauti za Busara’ Festival New Busara director Lorenz Herrmann, outgoing director Yusuf Mahmoud and new festival chief Journey Ramadhan discuss the beats. What were the best shows, the biggest challenges and where is one of Africa’s best-known music festivals heading?  Looking bad at two decades of Sauti za Busara’s […]
Soma zaidi
Septemba 6, 2023
4 dakika.

Higher Ground in Zanzibar

Countdown for the world’s tallest timber apartment building Ground planning and technical preparations for the 96-metre-landmark Burj Zanzibar are almost complete. “From our side, we could start building tomorrow”, construction experts say. Developer CPS intends to kick-off in 2024. THE FUMBA TIMES visited a similar timber tower in Germany to assess chances and risks.  The […]
Soma zaidi
Agosti 22, 2023
2 dakika.

A long road From China to Fumba

It takes a village to raise a kid, the saying goes. But it takes women like Doris Ishenda to manage a village. You may call her job a rather ungrateful one. 10pm, power blackout? Of course, Doris Ishenda will get up, send a notification to the town’s chat group while engineers and workers frantically start […]
Soma zaidi

Je, unatafuta mali Zanzibar?

25 essential questions and answers to buy property in Zanzibar

READ MORE
Whatsapp Nasi