Juni 28, 2021
Dakika 2. Soma

Mfuko mpya wa "it" kutoka Afrika

Ushirika wa wanawake wa kikundi cha Moto umedumu kwa miaka 20. Mifuko yao mipya ni moto kama ulivyo moto wenyewe.

Mifuko ya Raffia yenye mapindo yako kimitindo duniani kote. Ushirika huko Pete umebuni baadhi ya mitindo maarufu kutokana na makuti ya mnazi kwa sasa imeanza kuuzwa Zanzibar. 

Miaka 20 iliyopita, mfanyakazi wa maendeleo wa Ujerumani, Antje Förstle, aliwahamasisha wasuka mikeka wenyeji kuanza kuzalisha mikeka na mifuko si tu kwa ajili ya kujipatia riziki ya kila siku bali kwa kuwauzia watalii. "Aliwafundisha wanakijiji misingi ya mikakati ya masoko na taratibu walianza uzalishaji wa bidhaa walizotengeneza kwa mikono yao, misingi ya mikakati ya masoko," anasema Dida, meneja wa ushirika wa Moto, mtu ambaye ni mwenye huruma na anayejiamini, akiwa na umri wa miaka 24 na kwa sasa anasomea shahada ya kwanza ya biashara katika chuo kikuu cha Zanzibar.

Vikapu, mikoba na mazulia yanatengenezwa kutokana na makuti ya minazi, ambayo yanavunwa, kukaushwa, kutiwa rangi(kwa kutumia rangi za asili tu) na kufumwa pembeni. Kulingana na ukubwa, inachukua wiki moja hadi kukamilika kwa bidhaa moja ya ufumaji yenye ubora wa hali juu, imetengenezwa kwa mifumo ya kijadi, imekamilika. “Kwa kweli ni ustadi halisi”, anasema Dida.

Ushirika huu pia unafuma mablanketi. Pamba inanunuliwa kutoka Tanzania bara na kutengenezwa mablanketi laini ajabu yakiwa na rangi za kupendeza. Kwa miaka mingi biashara imekua na watu wengi zaidi katika vijiji vingi zaidi wanahusishwa na biashara hii. Kwa sasa, anasema Dida, wafanyakazi wapatao 200 wengi lakini siyo wanawake tu, wanaume wanadumu na kauli mbiu ya `moto Zanzibar` katika vijiji kumi kuzunguka Pete karibu na msitu wa Jozani, ambako kazi ya uzalishaji bidhaa hizi upo. Antje Förstle pia aliwafundisha kutengeneza sabuni na jam. 

Vyote hivi unaweza kununua katika ushirika wa `moto Zanzibar` katika Stone Town, mtaa wa Hurumzi. Asilimia 50 ya mapato yanawekezwa, na asilimia 50 zinakwenda moja kwa moja kwa wanavijiji. Yeyote anayenunua hapa si tu anapata bidhaa za kudumu lakini pia ni bidhaa endelevu na zenye kuzingatia ikolojia. `Moto' (Kiswahili for fire) inasimama kwenye ukweli kwamba minazi kuzunguka Pete, ambayo hutumika kwa uzalishaji wa bidhaa hizi, huenda ikaathirika kwa kukatwa na kuchomwa iwapo watu wa hapa hawatapata njia mbadala ya kujipatia kipato kutokana na kazi zao za mikono' fanyakazi kwa mtazamo halisi.

Maeneo ya uzalishaji ndani na kuzunguka Pete yanaweza kutembelewa katika ziara maalum na kuna jengo dogo la makumbusho ya kazi za uchongaji ni jambo la faida!!

Angelika Dubiel

Moto

416 mtaa wa Hurumzi, Stone Town

Wasiliana kupata duka mtaa wa Hurumzi: +255 779 388 254

Wasiliana karakana Pete: +255 773 031 178online shop: https://motozanzibar.wordpress.com/

Shiriki hii

Makala zinazohusiana-Related Articles

Machi 31, 2021
3 dakika.

Fumba Mbili-Wazo Moja

Find out all about new exciting seaside developments just outside Zanzibar city It’s all happening on the Fumba peninsula: Two major real estate developments creating modern living space with holiday flats and permanent family homes near the overcrowded capital. By ANDREA TAPPER Both aspiring seaside communities, started in 2015/16, fascinate locals as well as a […]
Soma zaidi
Mei 2, 2024
3 dakika.

HOW TO RUN A SUCCESSFUL AIRBNB

In Fumba Town and elsewhere in Zanzibar In 2012, Airbnb listed three apartments in Zanzibar. Today, more than 1,000 holiday apartments and villas are found on the isles: from a shipping container in Paje to a tree house in Bwejuu. Two popular Airbnb hosts in Fumba explain what works best – for them and their […]
Soma zaidi
Aprili 22, 2024
0 mins.

STREET NAME COMPETITION

Soma zaidi
Aprili 15, 2024
3 dakika.

"ZANZIBAR IS SO SUBLIME"

The son of Femi Kuti and grandson of Fela Kuti headlined one of the best Busara festivals ever By Andrea Tapper  He flew into Zanzibar, capturing the hearts of music fans from all over. Afrobeat musician Mádé Kuti, 28, and his wife Inedoye, 25, made time for an exclusive interview with THE FUMBA TIMES before […]
Soma zaidi

Je, unatafuta mali Zanzibar?

25 essential questions and answers to buy property in Zanzibar

READ MORE
Whatsapp Nasi