Juni 30, 2021
Dakika 3. Soma

Safari Wakati wa Covid

Nini kinafuata?

Julia Bishop, Makamu mwenyekiti, Chama cha Wawekezaji wa Utalii (ZATI)

“Wengi wanakubali kuwa Zanzibar ilikuwa na miezi mitano tu ya kuokoa uchumi. Tanzania iliacha wazi anga lake kwa ndege kutoka Urusi na Ulaya Mashariki. Tulikuwa kituo pekee cha utalii wakati wa majira ya baridi ambako watalii walikwenda. Tulimkaribisha yeyote kutoka mahali popote, hakuna maswali yaliyoulizwa. Mbali ya uamuzi huu kuonekana kuwa na utata lakini ulikuwa wa manufaa. Takwimu zetu za wageni wanaowasili zilikuwa nzuri kama ilivyokuwa kabla ya nyakati za janga la corona– Utalii ulishuka kwa asilimia saba wakati maeneo mengine ya utalii yalipoteza watalii kufikia asilimia 90!

Tanzania bara pia ilinufaika kiasi na wimbi la watalii kutoka Zanzibar. Kama ilivyotarajiwa, Ulaya Mashariki walituhama na kurejea kwenye maeneo yao ya zamani ya safari fupi huko Afrika Kaskazini na Mashariki. Nini kinafuata?

With new leadership came a shift of policy. What we see happening now is definitely heartening: A short-term pain – Covid tests required to enter – is a long-term gain. Tanzania is no longer the un-compliant country. That may eventually even take us off the global travel ‘red lists’.

Caught up in their various domestic pandemic dramas, many countries are not yet ready to let their citizens travel widely. The normal charters from Italy, Belgium and Germany are not yet ready. As vaccine rollout progresses we could expect to be optimistic. But is that optimism reflected in our hotel bookings? Are we on the brink of a tsunami of travel-starved last-minute tourists? I have the feeling that if there is to be a tourism summer 2021 here, it may be later than usual – beginning in July/August, building in September, culminating in a triumphant Christmas and New Year 2022.”

Wenye hoteli wanasemaje 

Andrea Knorova, Hoteli ya kifahari ya Zuri, Nungwi: "Nusu ya uwezo wetu inauzwa, uhifadhi mwingi wa mwaka uliopita. Inaonekana Warusi wa hali ya juu wamehamia Ushelisheli. Mahitaji makubwa kutoka Emirates/ Dubai. Ulaya inaamka polepole. - Anwar Beiser, hoteli ya daraja la kati Blue Oyster, Jambiani:” Kufikia sasa uhifadhi wa 10% pekee wa Julai na Agosti, lakini tuna subira na tunasubiri "Dakika za Mwisho". Tunaunga mkono kwa dhati sheria mpya za Covid-19 Zanzibar. Leonie Kaack, anaweka bajeti ya New Teddy's kwenye Pwani, Jambiani: “Nina uhakika tutakuwa tumeshiba kuanzia Julai. Kughairi kutoka mwaka jana wanataka kuja sasa. Hata Mei ilikuwa nzuri.

Ndege nzuri 

Andrea Tapper, mhariri wa THE FUMBA TIMES: “Ndege mpya kama Eurowings Discover, ya shirika la ndege la Lufthansa, inaingia Afrika Mashariki, safari ya kwanza ya ndege zake ilipangwa tarehe 24 Julai 2021, ikifanya safari mara mbili kwa wiki. Ndege za mashirika yanayoaminika na makongwe ni Turkish Airlines, Ethiopian, Qatar na KLM zikiruka kuja na kutoka Zanzibar. Wakati kila ndege ikipata wateja wake, janga la corona kilikuwa kipimo: usalama, kuaminika, urejeshaji haraka fedha, uunganishaji haraka wa safari, ukaaji wa starehe katika ndege. KLM bado imebakia katika mpangilio mzuri wa ukaaji. Emirates imekatishwa tamaa kwa wateja wake kuelekea katika ndege za nauli nafuu za Fly Dubai. Oman Air inawafanya watu wahangaike kwa miezi wakiomba kurejeshewa fedha. Nashawishika na Turkish Airlines: ambayo inaruhusu uingie na mzigo wa kilo 40, urejeshaji rahisi wa fedha, haki ya kubadilisha isiyo na kikomo, uunganishaji mzuri wa safari mjini Istanbul kuelekea miji 11 ya Ujerumani, maduka ya uwanja wa ndege yamefunguliwa, na ina wafanyakazi makini wa ndani ya ndege. Marejesho ya nauli yanaanzia €519 kwa daraja la tatu, €2125 kwa daraja la pili yaani “business class”. Niliona ni bora kwangu kukata tiketi ya daraja la pili kukiwa na nafasi ya mita 1,50 kati ya safu na safu na kukufanya ujisikie salama na mwenye hadhi. Ndege nzima ni nusu tu yake ndiyo iliyopata wasafiri, ni habari nzuri kwa wasafiri, changamoto kwa shirika. Msemaji Tarik Neu anathibitisha: “Ratiba yetu ya Zanzibar ni thabiti”. www.turkishairlines.com

Usafiri Mzuri 

Pooja Lalji, Rickshaw travel, Dar es Salaam: “Choose Dubai as a reasonable get-away from Zanzibar. 5 nights B&B, visit to Bhurj Khalifa, desert safari $410; 7 nights B&B $595 including a dhow cruise – explore  the difference between Zanzibar and bling-bling Dubai! Return flights starting at $410 from Dar. Closer to Home find quirky escape packages in Tanzania: Rejuvenation with Ayurveda including treatments at a beautiful nature retreat near Arusha, 2 nights/3 days, $450. Birdwatching & horseriding at gorgeous Wag Hill Lodge overlooking Lake Victoria near Mwanza, 2 nights ¢185. Rickshawtravels.com

142,263

Watalii Zanzibar, Januari-Machi '21

Wakati dunia ikisimama kutokana na janga la corona, Zanzibar ilikuwa wazi kwa wageni. Kwa sasa dunia taratibu inafunguka, Zanzibar imeanzisha mpango wa upimaji Covid. Nini kinafuata? Sauti maarufu kisiwani hapa wanabadilishana mawazo na mitazamo.
Shiriki hii

Makala zinazohusiana-Related Articles

Machi 31, 2021
3 dakika.

Two Fumbas – One Idea

Find out all about new exciting seaside developments just outside Zanzibar city It’s all happening on the Fumba peninsula: Two major real estate developments creating modern living space with holiday flats and permanent family homes near the overcrowded capital. By ANDREA TAPPER Both aspiring seaside communities, started in 2015/16, fascinate locals as well as a […]
Soma zaidi
Oktoba 23, 2023
2 dakika.

The unknown side of Zanzibar

Location Most secluded in Zanzibar, The Bottom Line Feel like a VIP by the ocean The road maybe rocky, but the destination rewards us for travelling it. Like a Fata Morgana, white modern villas suddenly become visible high above the sea, a wooden deck with neatly arranged cabana-like double sun beds leads to an endless […]
Soma zaidi
Oktoba 17, 2023
2 dakika.

FAKE Picture – OR NOT?

By Elias Kamau A tree house in Stone Town? Too good to be true! When we received this photo at THE FUMBA TIMES, we became highly sceptical. Here’s a guide to help you recognise fake shots – especially in your social media.  The commonsense warning is clear: don’t believe everything your Facebook and Instagram friends […]
Soma zaidi
Oktoba 3, 2023
2 dakika.

LET THE SUNSHINE IN

A German couple, one of the first buyers of a beach front house in Fumba Town, wants to start a solar business here. Engineer Ronny Paul, 44, produces custom made solar systems.  There seems to be good news on the solar front: a first photovoltaic project is planned for Bambi in the heart of the […]
Soma zaidi

Je, unatafuta mali Zanzibar?

25 essential questions and answers to buy property in Zanzibar

READ MORE
Whatsapp Nasi