Juni 28, 2021
Dakika 2. Soma

Furaha ya Pwani

Jumba la zamani la Sultan chini ya utawala wa mwanamke.

“Nyumba ya Pwani”katika matembezi bahari ya Shangani ni maarufu kwa mambo mengi, lakini ni watu wachache wanafahamu historia na waliosababisha kuwepo kwa historia hiyo.

Jumba la zamani la sultan lililobadilishwa kuwa mgahawa na baa, linaendeshwa na Park Hyatt, chini ya uongozi wa mwanamke. Afshan Jivraj, 34, raia wa Kenya, ambaye mababu zake wana asili ya India na Iran, alikuja Zanzibar miaka mitatu iliyopita kuangalia ufunguzi. Utafiti wake uligundua kuwa jengo hilo la ghorofa mbili lilijengwa wakati wa utawala wa sultan wa mwisho Zanzibar ambaye aliondolewa madarakani kwa nguvu mwaka 1964. ”Inasemekana aliwahifadhi vimada wake katika jengo hili”, anasema Afshan. Jengo hilo la ghorofa mbili lililo mbele ya ufukwe wa bahari, halafu likatumiwa na Waingereza kama nyumba ya uuguzi, baadaye familia za wahamiaji wa Kigoa hadi walipopata nyumba huko mpaka wakati jengo hilo lilipotelekezwa-kama ilivyo kwa majengo mengi katika Mji Mkongwe yameachwa yaoze.  

“Nililipenda nilipokuwa nimeliona, anasema Afshan. Akiwa amesoma katika shule ya wasomi ya Kiswiss, akiwa na uzoefu wa kazi huko China na Dubai, alianzisha soko lakini kuanzia ngazi ya chini kabisa– kazi ambayo kila mtu asingefikiria kwa mrembo kama huyu ambaye nadra mtu asiweze kumdhania kuwa ni mpokea wageni, angefanya kazi hiyo. “Hakuna wanawake wengi mameneja wakuu katika sekta ya kutoa huduma barani Afrika”, anasema: “Kwa kweli ilibidi nipambane.” Akiwasimamia wafanyakazi 31, ambao anapenda wajihisi kama familia moja”. Pia anaratibu programu za kuwasaidia wanawake wa maeneo hayo katika Hyattxxx. “Hatukubadili muundo wowote wa jengo”, anasisiza meneja huyu. “Menyu ya mgahawa wetu ni heshima kwa historia ya utamaduni wa chakula wa Oman, India na Uingereza.” 

Shiriki hii

Makala zinazohusiana-Related Articles

Machi 31, 2021
3 dakika.

Fumba Mbili-Wazo Moja

Find out all about new exciting seaside developments just outside Zanzibar city It’s all happening on the Fumba peninsula: Two major real estate developments creating modern living space with holiday flats and permanent family homes near the overcrowded capital. By ANDREA TAPPER Both aspiring seaside communities, started in 2015/16, fascinate locals as well as a […]
Soma zaidi
Mei 2, 2024
3 dakika.

HOW TO RUN A SUCCESSFUL AIRBNB

In Fumba Town and elsewhere in Zanzibar In 2012, Airbnb listed three apartments in Zanzibar. Today, more than 1,000 holiday apartments and villas are found on the isles: from a shipping container in Paje to a tree house in Bwejuu. Two popular Airbnb hosts in Fumba explain what works best – for them and their […]
Soma zaidi
Aprili 22, 2024
0 mins.

STREET NAME COMPETITION

Soma zaidi
Aprili 15, 2024
3 dakika.

"ZANZIBAR IS SO SUBLIME"

The son of Femi Kuti and grandson of Fela Kuti headlined one of the best Busara festivals ever By Andrea Tapper  He flew into Zanzibar, capturing the hearts of music fans from all over. Afrobeat musician Mádé Kuti, 28, and his wife Inedoye, 25, made time for an exclusive interview with THE FUMBA TIMES before […]
Soma zaidi

Je, unatafuta mali Zanzibar?

25 essential questions and answers to buy property in Zanzibar

READ MORE
Whatsapp Nasi